Jumamosi, 10 Septemba 2016

Aje yamfikisha Alikiba mbali

Nyimbo ya Alikiba aje imezidi kumfungulia zaidi kimataifa baada ya kuhojiwa na vituo mbali mbali vya television  na radio pia kwa sasa wimbo huo umepata shavu la kutumiwa kama muito kwenye mtandao wa MTN unaopatikana South Africa na Nigeria na kuendelea pia leo atakua akihojiwa na chanel ya Trace urban saa 12:30 Chanel no 326 on Dstv

Ratiba ya ligi kuu tarehe 10 mwez wa 9

Ratiba ya ligi kuu ya vodcom Tanz

Ijumaa, 9 Septemba 2016

kikosi cha man u

Morinho ataja kikosi chake chake cha leo huku akimjumuisha bally

kikosi cha man city

kocha wa man city pep Gurdiola ataja kikosi chake cha  mechi ya leo 👇👇👇

Edited by moraki  & kimbutu mbaga

Manchester Darby

Team mbili zinazotoka jiji moja la manchester leo zitakutana kwenye uwanja wa old trafod wa manchester united mahasimu hao manchester united na Manchester city watakutana wakiwa na makocha wao wapya msimu huu city ikiwa na cocha wao Pepe Gurdiola huku united ikiwa na Jose Morinho .Man city ina hati hati ya kumkosa aguero huku man u ikimkosa barly

Barnaba atoa video mpya

Msanii Barnaba kutoka Tanzania ameachia video ya wimbo wake mpya wa lover boy uliongozwa na mwongozaji travela kutoka kwetu studio

malaika achia video mpya

Msanii malaika ameachia video yake mpya ya Rarua rarua ambayo imeongozwa na mwongozaji Marufu hapa nchini kwa jina Hancana