Ijumaa, 9 Septemba 2016

Manchester Darby

Team mbili zinazotoka jiji moja la manchester leo zitakutana kwenye uwanja wa old trafod wa manchester united mahasimu hao manchester united na Manchester city watakutana wakiwa na makocha wao wapya msimu huu city ikiwa na cocha wao Pepe Gurdiola huku united ikiwa na Jose Morinho .Man city ina hati hati ya kumkosa aguero huku man u ikimkosa barly

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni