Jumatatu, 19 Septemba 2016

Watanzania wapata ajali zambia

Ajali.imetokea zambia ambako basi la power tools limepata ajali inakadiriwa kuwa abiria 62wamefariki basi hilo lililokua linatoka nakonde kwenda kitiwe ni watanzania wengi wamefariki
Kwa habari zaidi endelea kuwa karibu na blog yetu pendwa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni