Mkoa wa kagera umekumbwa na mafaa ya tetemekola ardhi lililodumu kwa dakika moja na kufanya nyumba kubomoka pia watu kufukiwa na vifusi na wengine kugongwa na magari wakati wakikimbia tetemeko hilo nyumba nyingi zilizo bomoka ni zile zilizojengwa milimani hivyo mpaka sasa watu wanazidi kufikishwa hospitalini mkoani humo
Kwa tarifa zaidi endelea kufatilia blog yetu
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni