Wasanii wawili kutoka Tanzania Diamond na alikiba jana usiku waliteka kenye mjini mombasa uwanja wa mama ninga ambapo kulikua na mkutano wa chama cha ODM Gavana wa jiji la mombasa aliwalika wasanii hao kupiga show hapo baada ya kumaliza mkutano wa chama .Diamond ndiye aliyekua wakwanza kuanza kuzikonga nyoyo za wakenya kisha alikiba akafunga kazi akiwa na mdogo wake Abdukiba
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni