Jumanne, 13 Septemba 2016

UEFA moto umewaka

Jana kulikua na mechi kali za UEFA champion ligue ambazo team zilizocheza zilititimuana kivumbi ili kuongoza ligue team ya Barcelona ilifumua celtic bao 7-0 huku mesii akiandika historia ya kuwa na hatrick sita kwenye uefa na kumpiku mpinzani wake Ronaldo pia Arsenal iliponea baada ya kuchomoa goli dakika ya 77kupitia kwa fundi wao sanchez na mchezo ulisha kwa suluhu ya 1-1 matokeo mengine 👇👇👇

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni