Hii ni baada ya kukutana kwenye fiesta msanii shishi baby shilole na aliye kua mwandani wake nuh mziwanda wakati wakiwa kwenye gari shilole alikua akimuliza nuh kuwa je anamuogopa nuh akajibu hapana hivyo wasanii hao walikumbatiana na kupigana mabusu kuonyesha hakuna ugomvi
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni