Msanii Alikiba (king kiba)ametajwa leo kuwa ataperfome live kwenye tuzo za MTV Africa awards ambazo zitafanyika October 22 huko nchini south Africa .Alikiba kapata nafasi hio baada ya kuwapiku wapinzani wake watatu Diamond platnumz ,sauti soul na eddy kenzo .Alikiba alipata kura Asilimia 45 akifuatiwa na Diamond asilimia 42
Ila tuseme hongera kwa Alikiba
Mziki wa Tanzania unazidi kufika mbali
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni