Alhamisi, 15 Septemba 2016

Serengeti boys dimbani

Timu ya vijana ya Tanzania Serengeti boys itashuka dimbani tarehe 18 kwenye uwanja wa taifa ikiwa inacheza ba vijana wenzao kutoka congo kwenye hatua ya kuwania kufuzu fainali za mataifa ya africa ya vijana hivyo tuwape support vijana wetu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni