Pata habari za biashara michezo burudani jamii fashion na siasa
Alhamisi, 15 Septemba 2016
Serengeti boys dimbani
Timu ya vijana ya Tanzania Serengeti boys itashuka dimbani tarehe 18 kwenye uwanja wa taifa ikiwa inacheza ba vijana wenzao kutoka congo kwenye hatua ya kuwania kufuzu fainali za mataifa ya africa ya vijana hivyo tuwape support vijana wetu
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni