Team ya soka ya arsenal kutoka jijini london leo imeweza kushinda kwa bao la jioni baada ya kupata penalt iliofungwa na sant carzola badaa ya mchezo kwenda sare kipindi cha kwanza southamton waliongoza kwa kupata bao la kujifunga kwa cech kutokana na faulo iliyopigwa na Tadic hata hivyo Arsenal hawakukata tamaa wakaendelea kujipanga wakasawazisha goli kupitia captain wao koshenly kwa bao la tiktak kisha kufunga hilo la penalt na kufanya matokeo kuwa 2-1 arsenal imepanda mpaka nafasi ya Tano
Tusubiri matokeo ya michezo ya kesho matokeo mengine ni 👇👇👇
Bunley 1-1 hull city
Bornemouth 1-0 west brom
West ham 2-4 watford
Middelsbrough 1-2 crystal palace
Stoke city 0-4 Totenham hotspurs
Jumamosi, 10 Septemba 2016
Arsenal kidedea
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni