Jumamosi, 10 Septemba 2016

Arsenal kidedea


Team ya soka ya arsenal kutoka jijini london leo imeweza kushinda kwa bao la jioni baada ya kupata penalt iliofungwa na sant carzola badaa ya mchezo kwenda sare kipindi cha kwanza southamton waliongoza kwa kupata bao la kujifunga kwa cech kutokana na faulo iliyopigwa na Tadic hata hivyo Arsenal  hawakukata tamaa wakaendelea kujipanga wakasawazisha goli kupitia captain  wao koshenly kwa bao la tiktak  kisha kufunga hilo la penalt na kufanya matokeo kuwa 2-1 arsenal imepanda mpaka nafasi ya Tano
Tusubiri matokeo ya michezo ya kesho matokeo mengine ni 👇👇👇
  Bunley 1-1 hull city
  Bornemouth 1-0 west brom
  West ham 2-4 watford
   Middelsbrough 1-2 crystal palace
    Stoke city 0-4 Totenham hotspurs

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni