Pata habari za biashara michezo burudani jamii fashion na siasa
Jumapili, 11 Septemba 2016
Wahindi wafanya sherehe wafunga barabara ya posta kwa mda
Wahindi wanaoishi Dar es salaam leo walikua wakisherekea sherehe za holy yani (kupakana unga unga)hivyo walikua wakitembea kutokeaa muhimbili mpaka barabara ya posta nk wahindi hao walikua na mdoli aliyesadikika ni mungu wao .
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni