Jumapili, 11 Septemba 2016

Wahindi wafanya sherehe wafunga barabara ya posta kwa mda

Wahindi wanaoishi Dar es salaam leo walikua wakisherekea sherehe za holy yani (kupakana unga unga)hivyo walikua wakitembea kutokeaa muhimbili mpaka barabara ya posta nk wahindi hao walikua na mdoli aliyesadikika ni mungu wao .

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni