Jumamosi, 10 Septemba 2016

Yanga yaendeleza ubabe

Team ya yanga imendeleza ubabe wa kutokufungw ligi toka imeanza msimu huu.yanga imeshinda mechi mbili na kudroo moja hivyo kuifanya yanga kufikisha point 7ikiwa bado inakiporo kimoja leo yanga imeifunga majimaji goli 3-0 magoli yalifungwa na deus kaseke na mshambuliaji Amis Tambwe akifunga mawili huku maji maji hawakuambulia kitu . Msimamo wa ligi 👇👇👇

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni