Pata habari za biashara michezo burudani jamii fashion na siasa
Jumatatu, 26 Septemba 2016
Tekno waleta phantom 6
Campuni ya simu za mkononi Tekno wamezindua simu mpya aina ya phantom 6 simu hizo zilizinduliwa juzi usiku huku uzinduzi huo ulihudhuriwa na msanii kutoka Tanzania Alikiba pamoja na mtangazaji maarufu millad ayo ambao walialikwa kwenye uzinduzi huo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni