Jumatatu, 26 Septemba 2016

Tekno waleta phantom 6

Campuni ya simu za mkononi Tekno wamezindua simu mpya aina ya phantom 6 simu hizo zilizinduliwa juzi usiku huku uzinduzi huo ulihudhuriwa na msanii kutoka Tanzania Alikiba pamoja na mtangazaji maarufu millad ayo ambao walialikwa kwenye uzinduzi huo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni