Msanii alikiba atoa ofa ya kuchukua madancers walioshiriki kwenye dance mia ili aweze kufanya nao kazi kwenye shoo zake hivyo amesema atachukua baadhi ya madancer hao pia alikiba kama tunavyojua kuwa atatumbuiza kwenye jukwaa la mtv huko south Africa
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni