Wasanii diamond platnumz na Alikiba watapanda kupiga show mombasa kenya kwenye show ya chama cha ODM (odinga ) kikitimiza miaka kumi ila kwa tarifa zilizo fika ni kua wasanii hao walikataa kulala hoteli walizo pangiwa hivyo hatujui je watakubali kupanda stage moja mana kila moja hakujua kuwa wamepangwa shoo moja
Kwa tarifa zingine endelea kufatilia blog yetu hii ya morakimo.blogspot.com
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni