Msanii Alikiba amesema kuwa atatoa nyimbo ndani ya hii miezi mitatu iliyobaki kama tunavyojua kuwa Alikiba nyimbo zake hudumu kwa muda mrefu na swali ni je hizo nyimbo ni kali zaidi ya Aje nyimbo hizo zitakua ni colaboration na zingine za kushirikishwa na zingine zake mwenyewe pia nyimbo zinazo hisiwa kati ya hizo tano ni Nisamehe ya baraka the prince ft Alikiba pia Aje remix ft mi mbaga na nyingine akiwa na dimpoz ila jina bado hatuna uhakika kwa sababu.alisema ni hashtag na siku hizi tunaona anatumia Kajiandae hizo mbili nyingine hazijafahamika ila hatujui kama Avelina ipo kumo pia kaa karibu nasi ili uzidi kupata hizi story
Baraka the prince ft alikiba nisamehe kesho inatoka
Jumatatu, 12 Septemba 2016
Ali kumaliza mwaka na nyimbo Tano.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni