Pata habari za biashara michezo burudani jamii fashion na siasa
Jumamosi, 10 Septemba 2016
Msanii wa bongo movies azidi kuteka tz
Msanii wema sepetu wa bongo movie azidi kuiteka Tanzania kupitia kujikita kwenye uandaji wa show za kisingeli,baikoko nk hivyo inaonekana inamuingizia sana wema kipato baada ya kumaliza dar sasa ameipeleka show hioo Tanga !!!
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni