Jumanne, 13 Septemba 2016

Alikiba azidi kutanua mombasa na Mr Gavana

Msanii alikiba amezidi kuthibitisha kuwa yeye ni kipenzi cha watu baada ya kuendelea kubaki mombasa ambako alikua amekwend kufanya shoo .Alikiba baada ya kufunika kwenye shoo pia amepata bahati ya kulala ikulu kwa gavana joho wa mombasa huku akila idi huko huko na kusherekea mambo mengine picha zilimuonyesha kiba akila bata na mheshimiwa joho baharini

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni