Pata habari za biashara michezo burudani jamii fashion na siasa
Jumanne, 27 Septemba 2016
Mombasa moto wa burudani
Tarehe 8 mwezi wa 10 mombasa itapata msisimko wa burudani (mombasa festival)burudani hioo itakua na wasanii wawili wa kimataifa pia ni marafiki wakubwa sana wasanii hao ni Chris brow kutoka marekani na wizkid kutoka Nigeria hivyo mombasa wajiandaee
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni