Jumanne, 13 Septemba 2016

Waziri mkuu azidi kwajali wahanga kagera

Waziri mkuu majaliwa amezidi kutafuta msaada wa kuwasaidia wahanga wa tetemeko la ardhi huko kagera kwa kukusanya bilioni 1.3 ili kusaidia wahanga hao kwa habari zaidi endelea kufuatilia ukurasa wetu huu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni