Jumanne, 27 Septemba 2016

Mafufuli alipongeza kanisa la anglicana

Raisi john pombe magufuli amelipongeza kanisa la anglicana kutokana na kuvutiwa na jinsi wanavyo endesha ibada .Magufuli alifika hapo kanisani jumapili ili kwa kushtukiza na kusali nao misa ya kwanza na pia alitoa zawadi ya milioni moja kwa wana kwaya

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni