Raisi john pombe magufuli amelipongeza kanisa la anglicana kutokana na kuvutiwa na jinsi wanavyo endesha ibada .Magufuli alifika hapo kanisani jumapili ili kwa kushtukiza na kusali nao misa ya kwanza na pia alitoa zawadi ya milioni moja kwa wana kwaya
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni