Jumapili, 11 Septemba 2016

Baraka the prince anakuja na nisamehe

Msanii anaekuja kwa kasi kuiteka Africa baraka the prince aliye chini ya lebel ya Rockstar 4000 ameahidi kutoa nyimbo yake ya nisamehe aliyomshirikisa msanii mkongwe wa bongo fleva Alikiba (king kiba) ambae wapo nae lebel moja .Baraka amesema nyimbo hio itatoka tarehe
13.9.2016 itakua ni video yake ya kwanza kufanya south Africa so tunaisubiri kwa hamu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni