Jumapili, 11 Septemba 2016

Magufuli agahiri kutoka nchini

Raisi wa Tanzania john pombe magufuli ameghairi kuenda nchini zambia kwenye kuhudhuria kuapishwa kwa raisi mpya nchini humu kwa mujibu wa vyombo vyetu vya habari vinasema magufuli ameghairi kwa sababu ya kutaka kushuhulukia maafa ya tetemeko la ardhi huko kanda ya ziwa na kuaababisha vifo vya watu 16 hivyo kwenye sherehe hizo atakwenda mheshimiwa mama samia suluhu .

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni