Jumamosi, 17 Septemba 2016

Jokate asaidia wathirika wa janga la tetemeko kagera

Mwanadada mwanamitindo marufu nchini Tanzania dada jokate mwigelo (jojo) amewasaidia wathirika wa tetemeko la ardhi huko kagera jana baada ya kwatembelea kutokana na kuguswa na maafa hayo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni