Jumanne, 13 Septemba 2016

Mugabe Ajengewa sanamu

Raisi wa nchi ya zimbabwe robert mugabe amejengewa sanamu mbili huko nchini kwake na sanamu hizo zimezinduliwa leo

Swali je kwa sasa tanzania ungependa nani afanyiwe hivyo jibu hapo chini

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni