Jumamosi, 10 Septemba 2016

Hudson kamoga kuteuliwa mkurugenzi

Mtangazaji wa chanel ya clouds tv bwana hudson kamoga ameteuliwa kuwa mkurugenzi wa halmashauri
Ya wilaya ya mbulu  hivyo ni hatua kubwa sana na ndiye mtangazaji pekee aliye pigiwa simu wakati akiwa kwenye kipindi cha clouds 360 na magufuli
         ALL THE BEST BROTHER
Edited  by moraki

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni