Mtangazaji wa chanel ya clouds tv bwana hudson kamoga ameteuliwa kuwa mkurugenzi wa halmashauri
Ya wilaya ya mbulu hivyo ni hatua kubwa sana na ndiye mtangazaji pekee aliye pigiwa simu wakati akiwa kwenye kipindi cha clouds 360 na magufuli
ALL THE BEST BROTHER
Edited by moraki
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni