Jumamosi, 10 Septemba 2016

Manchester city kileleni

Team ya Manchester city imendelea kubaki kileleni baada ya kifunga team ya Manchester united huu ni mchezo wa kwanza morinho anapoteza akiwa kocha wa man united. Goli la kwanza lilifungwa na mchezaji kelvin de bruyne dakika ya 16 ya mchezo na kuifanya man city kuongoza kwa goli moja kisha dakika ya 36 kelechi iheanacho alipa man city goli la pili baada ya kumalizia mpira uliogonga mwamba uliopigwa na de bruyne kisha man u ikajipatia goli lake la kufutia machozi kupitia mshambuliaji wake ibrahimovic dakika ya arobaini na kufanya mchezo huoo kuisha kwa goli 2-1

Edited by moraki

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni