Jumamosi, 17 Septemba 2016

Diamond ,Alikiba kumbe walishawahi kukutana studio

Wasanii mahasimu Diamond platnumz na mpinzani.wake Alikiba (king kiba) inasemekana wapiwahi kukutana studio mwaka jana na aliyewakutanisha ni msanii neyo abaye alitaka wafanye kolabo ya watu watatu ila alikiba hakupendezwa na hilo hivyo neyo aliamua kufanya na diamond tu kisha akakataa kufanya na alikiba ila kwa mujibu inasemekana kuwa msanii huyo alikuwa hajui bifu la wawili hao ila baadae alimtafuta alikiba huko Uganda na kumuomba samahani kwa yaliotokea na kuamua kufanya nyimbo.na Alikiba.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni