Jumanne, 27 Septemba 2016

Alikiba apasua anga

Msanii alikiba amezidi kupasua anga kimataifa baada ya kutajwa kwenye kuwania tuzo za Mtv ema akishindana na black coffie wizkid olamide na casper nyovest .kiba kapata nafasi hio ambapo kamzidi mpinzani wake diamond platnumz  toka arudi kimuziki inaonyesha kiba anataka heshima yake ya ufalme wa bongo flavour tena hivyo tumpigie kura ili alete tuzo nyumbani Tanzania
http://base.mtvema.com/vote#cat=best-african

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni