Tarehe 8 mwezi wa 10 mombasa itapata msisimko wa burudani (mombasa festival)burudani hioo itakua na wasanii wawili wa kimataifa pia ni marafiki wakubwa sana wasanii hao ni Chris brow kutoka marekani na wizkid kutoka Nigeria hivyo mombasa wajiandaee
Moraki blog
Pata habari za biashara michezo burudani jamii fashion na siasa
Jumanne, 27 Septemba 2016
Mafufuli alipongeza kanisa la anglicana
Raisi john pombe magufuli amelipongeza kanisa la anglicana kutokana na kuvutiwa na jinsi wanavyo endesha ibada .Magufuli alifika hapo kanisani jumapili ili kwa kushtukiza na kusali nao misa ya kwanza na pia alitoa zawadi ya milioni moja kwa wana kwaya
Alikiba apasua anga
Msanii alikiba amezidi kupasua anga kimataifa baada ya kutajwa kwenye kuwania tuzo za Mtv ema akishindana na black coffie wizkid olamide na casper nyovest .kiba kapata nafasi hio ambapo kamzidi mpinzani wake diamond platnumz toka arudi kimuziki inaonyesha kiba anataka heshima yake ya ufalme wa bongo flavour tena hivyo tumpigie kura ili alete tuzo nyumbani Tanzania
http://base.mtvema.com/vote#cat=best-african
Jumatatu, 26 Septemba 2016
Tekno waleta phantom 6
Campuni ya simu za mkononi Tekno wamezindua simu mpya aina ya phantom 6 simu hizo zilizinduliwa juzi usiku huku uzinduzi huo ulihudhuriwa na msanii kutoka Tanzania Alikiba pamoja na mtangazaji maarufu millad ayo ambao walialikwa kwenye uzinduzi huo.
Jokate azidi kujiwekeza
Mwanamitindo marufu jokate mwigelo kutoka Tanzania amezidi kuongeza brand yake kwa kutafuta wasusi wa mitaani na kuchagua wachache ambao ataweza kufanya nao kazi hioo ni kwa dar nzima pia dada huya alijiwekeza kwenye mambo ya ndara (snikers) .
Alikiba atoa ofa dance mia mia
Msanii alikiba atoa ofa ya kuchukua madancers walioshiriki kwenye dance mia ili aweze kufanya nao kazi kwenye shoo zake hivyo amesema atachukua baadhi ya madancer hao pia alikiba kama tunavyojua kuwa atatumbuiza kwenye jukwaa la mtv huko south Africa
Jumatatu, 19 Septemba 2016
Watanzania wapata ajali zambia
Ajali.imetokea zambia ambako basi la power tools limepata ajali inakadiriwa kuwa abiria 62wamefariki basi hilo lililokua linatoka nakonde kwenda kitiwe ni watanzania wengi wamefariki
Kwa habari zaidi endelea kuwa karibu na blog yetu pendwa